Thursday, August 22, 2013

New Song- Juma Nature - Dogo


Mwanafunzi wa kiu na mshiriki wa miss chang'ombe no:5 vilevile mshiriki wa miss temeke 2013 ajiusisha na skendo ya usagaji



Friday, August 9, 2013



Monday, May 7, 2012

NEW TRACK IZZO B - MWAKA JANA


European Film Festival 2012 In Dar Es Salaam

Date: From the 11th to the 15th of May


Four venues: Alliance FrancaiseBritish CouncilGoethe Institut and Nafasi Art Space.


2 projections per day/ place at 17.30 and 20.00 pm.


And also short Tanzanian movie screened everynight at 
Spaggo French Bistro (Alliance francaise) from 22pm. Because we love culture and movies, WELCOME!
Wanamuziki wa Kalunde Band wakitumbuiza kwa staili ya kiduku, halfla iliyofanyika jana usiku katika hotel ya JB Belmont Hotel iliyopo katikati ya jiji la Dar.


Wachezajiwa Azam FC walipata vyeti na nishani za utumiaji bora vipaji vyao ikiwa mchezaji mwenye nidhamu, mchezaji aliedumu katika kiwangi msimu mzima, mfungaji bora, mchezaji shupavu n.k.
Vijana kutoka India waliokuja Tanzania kujifunza soka la kibongo pia nao walipewa vyeti vya ushiriki wao katika msimu huu.
Shafih Dauda mtangazi wa Clouds FM akikabidhiwa cheti na Mh, Idd Azan Mbunge wa jimbo la kinondoni.



Waandishi wa habari za michezo walioandika zaidi habari za Azam FC walitunukiwa vyeti usiku wa jana.
Tafrija ikiendelea.

BLACK RHYNO FT. SOPRANO - TAKING OVER [www.DarTalk.com]

Friday, April 20, 2012

 NANI MKALI KATI YA MANGWEAR NA CHIDI BEENZ NI JUMAPILI HII NDANI YA CLUB BILINANS

 
 MANGWEAR
 CHIDI BEENZ


Wednesday, April 18, 2012

 BARNABA - GUBEGUBE (Official Video)

RECHO - UPEPO (Official Video)

BIngili Dance Bushoke & Vampino

Ssen lubi - Fungu la kukosa 


MSANII wa muziki wa kizazi kipya Alikiba, amefurahia kupewa vifaa vya muziki mabvyo ni Gitaa na Vinanda viwili vyenye thamani ya sh mil 1.5, na Prodyuza John Sheiza ‘Man Water’ baada ya wimbo wake wa ‘Dushelele’ aliyofanya kufanya vizuri.

Man Water juzi alimkabizi vifaa hivyo kwa msanii huyo, kwani hiyo ni kazi yake ya kutoa motisha kwa kila msanii anayerekodi kwake katika studio ya ‘Combination Sound’.


Akiongea na
DarTalk, Alikiba alisema kuwa kwa kupewa vifaa hivyo kumtamfanya aongeze bidii katika utoaji wa kazi nzuri zinazoendana ubora wa kimataifa.

Hata hivyo alisema kuwa vifaa hivyo vinaweza kumsaidia katika kazi zake za muziki kwani amekuwa akivihitaji kwa muda mrefu.


“Namshukuru sana Man Water kwa kuona ubora wa kazi yangu, hivyo hata mimi kwa upande wangu namwambia kwamba nitaendelea kuwa naye karibu katika kukuza muziki wetu,”
alisema.

Na Laurent Samatta