Pages

Sunday, April 8, 2012

MSANII BARNABAS KUTOKA THT APATA MTOTO WA KIUME.

 
Wakati watanzania wakiwa kwenye majonzi makubwa kwa kuondokewa na kipenzi cha Steven Kanumba. Mchana leo majira ya saa 6 msanii kutoka THT Barnabas amepata mtoto wa kiume na ili kumuenzi Kanumba ameamua kumpa mtoto wake jina la STEVEN BARNABAS


No comments:

Post a Comment

I would be killed very resourceful in my imagination