Daudi hapa ndani ya anthony recod akisikiliza moja wapo ya beat ambayo akitaka kurecod,ila mchizi alikuwa mbishi kila beat alikuwa akiiyona ni beat ya R.N.B ila yeye mchizi anataka beat ya HIP HOP.Hana funguka akisema mimi simbana pua mpaka unitengenezehe beat hizo rahini ngumu ndizo mpango mzima producer thony vipi
No comments:
Post a Comment