NEW TRACK IZZO B - MWAKA JANA
1.Despair not, TRY TO YOU You. (NOTHING BUT IS CONFIDENTIAL TO SUCCESS GOOD PREPARATION RESULTS DO work hard and learn from the mistakes) 2. USIKATE TAMAA, EMBU JARIBU NAWE UTAWEZA.( HAKUNA SIRI YA MAFANIKIO BALI NI MATOKEO YA MAANDALIZI MAZURI KUFANYA KAZI KWA BIDII NA KUJIFUNZA KUTOKANA NA MAKOSA)
Monday, May 7, 2012
European Film Festival 2012 In Dar Es Salaam
Date: From the 11th to the 15th of May
Four venues: Alliance Francaise, British Council, Goethe Institut and Nafasi Art Space.
2 projections per day/ place at 17.30 and 20.00 pm.
And also short Tanzanian movie screened everynight at Spaggo French Bistro (Alliance francaise) from 22pm. Because we love culture and movies, WELCOME!
Date: From the 11th to the 15th of May
Four venues: Alliance Francaise, British Council, Goethe Institut and Nafasi Art Space.
2 projections per day/ place at 17.30 and 20.00 pm.
And also short Tanzanian movie screened everynight at Spaggo French Bistro (Alliance francaise) from 22pm. Because we love culture and movies, WELCOME!
Wanamuziki wa Kalunde Band wakitumbuiza kwa staili ya kiduku, halfla iliyofanyika jana usiku katika hotel ya JB Belmont Hotel iliyopo katikati ya jiji la Dar.
Wachezajiwa Azam FC
walipata vyeti na nishani za utumiaji bora vipaji vyao ikiwa mchezaji
mwenye nidhamu, mchezaji aliedumu katika kiwangi msimu mzima, mfungaji
bora, mchezaji shupavu n.k.
Vijana kutoka India waliokuja Tanzania kujifunza soka la kibongo pia nao walipewa vyeti vya ushiriki wao katika msimu huu.
Shafih Dauda mtangazi wa Clouds FM akikabidhiwa cheti na Mh, Idd Azan Mbunge wa jimbo la kinondoni.
Waandishi wa habari za michezo walioandika zaidi habari za Azam FC walitunukiwa vyeti usiku wa jana.
Tafrija ikiendelea.
Friday, April 20, 2012
Wednesday, April 18, 2012
MSANII wa muziki wa kizazi kipya Alikiba, amefurahia kupewa vifaa vya muziki mabvyo ni Gitaa na Vinanda viwili vyenye thamani ya sh mil 1.5, na Prodyuza John Sheiza ‘Man Water’ baada ya wimbo wake wa ‘Dushelele’ aliyofanya kufanya vizuri.
Man Water juzi alimkabizi vifaa hivyo kwa msanii huyo, kwani hiyo ni kazi yake ya kutoa motisha kwa kila msanii anayerekodi kwake katika studio ya ‘Combination Sound’.
Akiongea na DarTalk, Alikiba alisema kuwa kwa kupewa vifaa hivyo kumtamfanya aongeze bidii katika utoaji wa kazi nzuri zinazoendana ubora wa kimataifa.
Hata hivyo alisema kuwa vifaa hivyo vinaweza kumsaidia katika kazi zake za muziki kwani amekuwa akivihitaji kwa muda mrefu.
“Namshukuru sana Man Water kwa kuona ubora wa kazi yangu, hivyo hata mimi kwa upande wangu namwambia kwamba nitaendelea kuwa naye karibu katika kukuza muziki wetu,” alisema.
Na Laurent Samatta
Man Water juzi alimkabizi vifaa hivyo kwa msanii huyo, kwani hiyo ni kazi yake ya kutoa motisha kwa kila msanii anayerekodi kwake katika studio ya ‘Combination Sound’.
Akiongea na DarTalk, Alikiba alisema kuwa kwa kupewa vifaa hivyo kumtamfanya aongeze bidii katika utoaji wa kazi nzuri zinazoendana ubora wa kimataifa.
Hata hivyo alisema kuwa vifaa hivyo vinaweza kumsaidia katika kazi zake za muziki kwani amekuwa akivihitaji kwa muda mrefu.
“Namshukuru sana Man Water kwa kuona ubora wa kazi yangu, hivyo hata mimi kwa upande wangu namwambia kwamba nitaendelea kuwa naye karibu katika kukuza muziki wetu,” alisema.
Na Laurent Samatta
Tuesday, April 17, 2012
Monday, April 16, 2012
KENYA'S WESLET KORIR, CHEROP WIN BOSTON MARATHO
Wesley Korir, left, and Sharon Cherop, both of Kenya, kiss the
winner's trophy after winning the men's and women's divisions of the
116th Boston Marathon in Boston today.
BOSTON—Wesley Korir, a Kenyan citizen and permanent resident of the United States, won the Boston Marathon on Monday in a heat-slowed time of 2 hours, 12 minutes, 40 seconds that was almost 10 minutes behind the world best established here a year ago by Geoffrey Mutai.
It was the second-slowest Boston race since 1985, as temperatures rising into the 80s slowed the leaders and may have convinced as many as 4,300 entrants to sit this one out. Mutai, who was hoping a repeat victory would earn him a spot on the Kenyan Olympic team, dropped out after 18 miles with cramps.
Instead, Korir may have won a ticket to the London Games.
"To me, I think running the Boston Marathon is an Olympic event," the two-time Los Angeles Marathon champion said. "I don't care what comes up after this, but I'm really, really happy to win Boston."
Sharon Cherop won the women's race to complete the Kenyan sweep, outkicking Jemima Jelagat Sumgong to win by 2 seconds in 2:31:50. The women's race was decided by a sprint down Boylston Street for the fifth consecutive year.
Korir was the 19th Kenyan men's winner in 22 years. But he is hardly typical of the African runners who have come to dominate the event since Greg Meyer became the last American winner in 1983.
BOSTON—Wesley Korir, a Kenyan citizen and permanent resident of the United States, won the Boston Marathon on Monday in a heat-slowed time of 2 hours, 12 minutes, 40 seconds that was almost 10 minutes behind the world best established here a year ago by Geoffrey Mutai.
It was the second-slowest Boston race since 1985, as temperatures rising into the 80s slowed the leaders and may have convinced as many as 4,300 entrants to sit this one out. Mutai, who was hoping a repeat victory would earn him a spot on the Kenyan Olympic team, dropped out after 18 miles with cramps.
Instead, Korir may have won a ticket to the London Games.
"To me, I think running the Boston Marathon is an Olympic event," the two-time Los Angeles Marathon champion said. "I don't care what comes up after this, but I'm really, really happy to win Boston."
Sharon Cherop won the women's race to complete the Kenyan sweep, outkicking Jemima Jelagat Sumgong to win by 2 seconds in 2:31:50. The women's race was decided by a sprint down Boylston Street for the fifth consecutive year.
Korir was the 19th Kenyan men's winner in 22 years. But he is hardly typical of the African runners who have come to dominate the event since Greg Meyer became the last American winner in 1983.
Sunday, April 15, 2012
VODACOM TANZANIA YA PUNGUZA GHARAMA ZA KUTOA FEDHA KATIKA HUDUMA YAKE YA M-PESA HADI ASILIMIA 20

M-PESA .“Tunaelewa
hali ya uchumi nchini na tunafahamu jinsi m-pesa ilivyokua huduma
muhimu na bora katika maisha ya kila siku ya Watanzania, Hivyo tumeamua
kuifanya iwe nafuu zaidi na rahisi kwa wateja wetu ”, alisema Mkurugenzi
huyo katika taarifa iliyotolewa ya kutambulisha gharama mpya za kutoa
fedha. ‘Hili ni lengo letu muhimu mwaka huu na zaidi” alisisitiza Bw.
Meza.
Upunguzaji huu umekuja miezi
michache baada ya Kampuni kupunguza gharama za kutuma fedha na kuwa
ndogo kwa kiasi cha kuanzia shilingi 50 kwa muamala na kuzindua
promosheni ya siku 90 iitwayo ‘tuma na ushinde’ ambapo shilingi milioni
480 zitashindaniwa kwa kipindi chote cha promosheni.
Jukumu
letu ni kuhakikisha kwamba wateja wetu wana furaha na wanajiwezesha
kupitia huduma ya m-pesa. Tutaendelea kuboresha bidhaa na huduma zetu
ambazo tunatoa kwenye m-pesa ili kuhakikisha umuhimu kwa maisha ya
kila siku ya wateja alisisitiza Bw Meza.
Vodacom
m-pesa inatoa huduma mbalimbali ikiwa ni pamoja na malipo ya bili kama
vile LUKU, DAWASCO, DSTV na hata ada za mitihani ya NECTA. Vilevile
inaweza kutumika kulipia tiketi, safari za ndani za ndege za
Precision Air na Coastal , ununuzi wa tiketi za basi, kulipa ada za
shule, kuweka na kutoa fedha kupitia Benki ya CRDB, Western Union na
huduma zingine nyingi.
Vodacom m-pesa
ina mtandao wa mawakala zaidi ya 20,000 Tanzania nzima, hakuna shaka
kwamba Vodacom m-pesa ni huduma inayoongoza katika ufumbuzi na umaarufu
na matumizi ya kuongezeka siku hadi siku na kufanya Vodacom Tanzania
iwe chaguo zaidi la ufumbuzi wa masuala ya fedha hapa nchini.
DK. SHEIN MGENI RASMI KATIKA HAFLA YA KUSIMIKWA KWA ASKOF MPYA ZANZIBAR
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali
Mohamed Shein,akipeana mkono na Askofu wa Dayosisi ya Zanzibar Padre
Michael Henry Hafidh,baada ya kuwekwa Wakfu wa Dayosisi hiyo jana,katika hafla iliyofanyika Kanisa Kuu la Mkunazini Mjini Unguja jana.
Askofu wa Mkuu wa Dayosisi Tanzania
Dr.Valentino Mokiwa,(aliyesimama) akimuweka Wakfu Padre Michael
Henry Hafidh,(aliyelala) kuwa Askofu wa kumi wa Dayosisi ya Zanzibar
Kanisa Kuu la Mkunazini, Mjini Unguja jana.
Askofu wa Mkuu wa Dayosisi Tanzania
Dr.Valentino Mokiwa,(aliyesimama) akimuweka Wakfu Padre Michael
Henry Hafidh,(aliyelala) kuwa Askofu wa kumi wa Dayosisi ya Zanzibar
Kanisa Kuu la Mkunazini, Mjini Unguja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akipeana mkono na Askofu wa
Dayosisi ya Zanzibar Padre Michael Henry Hafidh,baada ya kuwekwa Wakfu
wa Dayosisi hiyo jana,katika hafla iliyofanyika Kanisa Kuu la Mkunazini Mjini Unguja
Askofu Mkuu wa Dayosisi Tanzania Dr.Valentino Mokiwa,(mbele)
akiongoza maaskofu katika sherehe za kumuweka Wakfu Padre Michael Henry
Hafidh,kuwa Askofu wa kumi wa Dayosisi ya Zanzibar Kanisa Kuu la
Mkunazini Mjini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali
Mohamed Shein,(wa nne kushoto) Rais Mstaafu wa Tanzania Benjamin Mkapa
na Mkewe Mama Anna Mkapa,Askofu Mkuu wa Dayosisi Tanzania
Dr.Valentino Mokiwa (katikati) wakiwa katika picha ya pamoja na Maaskofu
mbali mbali waliohudhuria katika hafla ya ibada ya kumuweka kuwa Wakfu
Padre Michael Henry Hafidh,(wa tatu kushoto) kuwa Askofu wa kumi wa
Dayosisi ya Zanzibar katika Kanisa Kuu la Mkunazini Mjini Zanzibar
leo,(wa pili kushoto) Mke wa Askofu wa Dayosisi ya Zanzibar Merry
Michael .[Picha na Ramadhan Othman - Ikulu.]
KUTOKA MAKTABA: ZIARA YA BABA MTAKATIFU PAPA JOHN PAUL II NCHINI TANZANIA OKTOBA 1990
Baba Mtakatifu Papa John Paul II akiwapungia maelfu ya Watanzania
waliofurika katika viwanja vya Jwangani jijini Dar es salaam
alikoendesha misa maalum ya ziara yake hiyo Oktoba 1990
Baba Mtakatifu Papa John Paul II akimlisha mkate Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere
Baba Mtakatifu Papa John Paul II akisalimiana na Katibu Mkuu wa CCM Horace Kolimba
Baba Mtakatifu Papa John Paul II akiwasili Jangwani
Baba Mtakatifu Papa John Paul II na ujumbe wake wa Vatican katika
mazungumzo rasmi na serikali ya Tanzania chini ya Rais Ali Hassan Mwinyi
Baba Mtakatifu Papa John Paul II akiwa na Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere
Rais Ali Hassan Mwinyi akimsindikiza Baba Mtakatifu Papa John Paul II baada ya kuhutubia Jangwani
Baba Mtakatifu Papa John Paul II akimpa zawadi Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Tanzania Mhashama Kardinali Rugambwa
Baba Mtakatifu Papa John Paul II na mwenyeji wake Mhashama Kardinali Rugambwa
.................
KUTOKANA NA MAOMBI YA WENGI, SIKU ZA JUMAPILI GLOBU YA JAMII
ITAKUWA IKIKULETEA MATUKIO MBALIMBALI YA KIHISTORIA YA NCHI YETU KUTOKA
MAKTABA ZETU KAMA HIVI.
MDAU MWENYE AINA YOYOTE YA TASWIRA ZA KUMBUKUMBU
MDAU MWENYE AINA YOYOTE YA TASWIRA ZA KUMBUKUMBU
NEW TRACK: CHEGE - MWANAYUMBA
NEW TRACK: ANAPITA - BARUA KWA MAMA
Ni wimbo ambao unamuhusu mtu yeyote, nimeuandika kutokana na maisha ya mjini jinsi yalivyo, vijana wengi tumekuja kutafuta na mama zetu wako mbali na sisi, kwa jinsi maisha yalivyo wakati mwingine mshiko wa kumpigia mother hauna, na wakati mwingine mama mwenyewe kijijini hana simu mpaka kwa jirani,kuna wakati hawa wamama hudhani kwamba tumewasahu halafu huku mjini tunakula bata lakini si kweli.
Au pia kuna marafiki ambao kwa bahati mbaya mama zao washatangulia mbele za haki, nao hufikiria kuandika barua.Nawapenda Wamama wote duniani kwasababu natambua umuhimu wao.
Wimbo umefanyika Arusha katika studio za Noizmekah kwa produza DX.
Song:Dani
Written by: Nyemo
Composed by: Casanova & Bob manecky
Marimba by: Andrew
Produced, recorded and mixed by: Casanova from Future
Sound Rec
Saturday, April 14, 2012
KONY 2012 - ONLY 5 DAYS LEFT FOR THE WORLD TO KNOW!
To see real time reports on LRA activity in the D.R.Congo, Central African Republic and South Sudan visit: http://www.lracrisistracker.com/
Website: www.kony2012.com
Youtube link: http://www.youtube.com/watch?v=Y4MnpzG5Sqc
Let the world know, Let us make a difference, let the responsible people take action and put an end to this!
RegardsFarry Thompson
HAFLA YA TUZO ZA KILI MUSIC AWARDS 2012 NDANI YA MLIMANI CITY JIJINI DAR
Mshindi wa tuzo ya Wimbo Bora wa Zouk Rhumba,Ali Kibaa
akikabidhiwa tuzo yake na Mwanadada Dina Marios wa Clouds Fm na Mkongwe
Rainfred Masako wa ITV.
Muwakilishi wa kundi la Arusha Gold akipokea tuzo ya Wimbo bora wa Ragga,kutoka kwa mwanadada Khadija Mwanamboka.
Wasanii wa Muziki wa Ragga kutoka jijini Arusha wafahamikao kwa
jina la Arusha Gold wakitoa shukrani kwa wadau wao waliowapigia kura
mpaka kupata ushindi huo.
Waendeshaji wa hafla hii usiku huu ni Milard Ayoo na mwanadada Vanessa Mdee.
Burudani kutoka kwa vijawa T.H.T.
Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar usiku huu ukiwa umefurika kwa
washabiki wa muziki nchini ikiwa ni siku ya utoaji wa tuzo za
Kilimanjaro Tanzania Music Awards 2012.
Mchekeshaji wa Ze Komedi,Mpoki akitambulisha moja kikundi ya utumbuizaji usiku huu.
Vijana wa T.H.T wakitoa burudani usiku huu.
Subscribe to:
Posts (Atom)