Sunday, April 15, 2012

DK. SHEIN MGENI RASMI KATIKA HAFLA YA KUSIMIKWA KWA ASKOF MPYA ZANZIBAR
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akipeana mkono na Askofu wa Dayosisi ya Zanzibar Padre Michael Henry Hafidh,baada ya kuwekwa Wakfu wa Dayosisi hiyo jana,katika hafla iliyofanyika Kanisa Kuu la Mkunazini Mjini Unguja jana.
 Askofu wa Mkuu wa Dayosisi Tanzania Dr.Valentino Mokiwa,(aliyesimama) akimuweka Wakfu Padre Michael Henry Hafidh,(aliyelala) kuwa Askofu wa kumi wa Dayosisi ya Zanzibar Kanisa Kuu la Mkunazini, Mjini Unguja jana.
 Askofu wa Mkuu wa Dayosisi Tanzania Dr.Valentino Mokiwa,(aliyesimama) akimuweka Wakfu Padre Michael Henry Hafidh,(aliyelala) kuwa Askofu wa kumi wa Dayosisi ya Zanzibar Kanisa Kuu la Mkunazini, Mjini Unguja.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akipeana mkono na Askofu wa Dayosisi ya Zanzibar Padre Michael Henry Hafidh,baada ya kuwekwa Wakfu wa Dayosisi hiyo jana,katika hafla iliyofanyika Kanisa Kuu la Mkunazini Mjini Unguja
 Askofu Mkuu wa Dayosisi Tanzania Dr.Valentino Mokiwa,(mbele) akiongoza maaskofu katika sherehe za kumuweka Wakfu Padre Michael Henry Hafidh,kuwa Askofu wa kumi wa Dayosisi ya Zanzibar Kanisa Kuu la Mkunazini Mjini Zanzibar.

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(wa nne kushoto) Rais Mstaafu wa Tanzania Benjamin Mkapa na Mkewe Mama Anna Mkapa,Askofu Mkuu wa Dayosisi Tanzania Dr.Valentino Mokiwa (katikati) wakiwa katika picha ya pamoja na Maaskofu mbali mbali waliohudhuria katika hafla ya ibada ya kumuweka kuwa Wakfu Padre Michael Henry Hafidh,(wa tatu kushoto) kuwa Askofu wa kumi wa Dayosisi ya Zanzibar katika Kanisa Kuu la Mkunazini Mjini Zanzibar leo,(wa pili kushoto) Mke wa Askofu wa Dayosisi ya Zanzibar Merry Michael .[Picha na Ramadhan Othman - Ikulu.]

No comments: