Thursday, March 29, 2012

NEW TRACK : FROM BONGO RECORDZ


Baada ya Tamani, Bongo Records na T-Block Entertainment wanamleta kwenu Msamiati akishirikiana na Jux pamoja na Steve RnB kwenye nyimbo yake mpya inaitwa NYINGINE. Msamiati “Wote mnajua uwezo wa P-Funk a.k.a Majani, ukiniuliza kitu kingine cha ziada kilichonipeleka kwake ntajibu nilichagua kuwa historia mpya ya Bongo Records, ilikua kazi rahisi kwakuwa nimefanya na waimbaji bora ila bado ukaribu, ushirikiano, uvimilivu na kiu ya kufanya vizuri kwa kila mmoja wetu ilitosha kufanya muungano wetu utoe kitu kizuri na tofauti kwaajili ya wasikilizaji na wapenzi wa muziki 

No comments: