Monday, March 5, 2012

ONEMOCKE

Maiti za kijana ambaye ameuawa kikatili maeneo ya Mabibo Majimachafu jijini Dar es salaam baada ya kudaiwa kuwa kibaka huyo akutambuliwa jina baada ya kuuawa na wananchi wenye hasira. Imedaiwa kibaka huyo alikwapua mpita njia waliokuwa wakiwahi makazini alfajiri..alikimbizwa akakamatwa na kutiwa kiberiti kama nyama choma'. Mama mmoja wa marehemu alijitokeza eneo hilo na kumtambua kibaka huyo kuwa ni mwanae na akasema kwamba alikuwa hajaonekana nyumbani kwa muda wa wiki moja!!

No comments: