Sunday, March 25, 2012

SIMBA SC YAIRARUA ES SETIF 2-0

 Mashabiki wa Simba kabla ya mchezo.

Kikosi cha Simba kilichowaua Waarabu leo.

Felix Sunzu kazini.

 Salum Machaku (katikati) akisikilizia maumivu.

 Waheshimiwa Fredric Sumaye, Said El-Maamry, Zitto Kabwe na Aden Rage wakiipa sapoti Simba SC.
Wekundu wa Msimbazi, Simba SC leo wameirarua ES Setif kutoka nchini Algeria kwa mabao 2-0 kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika, uliopigwa katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Mabao ya Simba yamefungwa na Emmanuel Okwi pamoja na Haruna Moshi.

No comments: