NANI MKALI KATI YA MANGWEAR NA CHIDI BEENZ NI JUMAPILI HII NDANI YA CLUB BILINANS
MANGWEAR
CHIDI BEENZ
1.Despair not, TRY TO YOU You. (NOTHING BUT IS CONFIDENTIAL TO SUCCESS GOOD PREPARATION RESULTS DO work hard and learn from the mistakes) 2. USIKATE TAMAA, EMBU JARIBU NAWE UTAWEZA.( HAKUNA SIRI YA MAFANIKIO BALI NI MATOKEO YA MAANDALIZI MAZURI KUFANYA KAZI KWA BIDII NA KUJIFUNZA KUTOKANA NA MAKOSA)
Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania imepunguza gharama zake
za kutoa fedha kwa kupitia huduma yake ya m-pesa hadi asilimia 20
ambapo mteja anapotoa fedha kutoka kwa wakala yeyote wa m-pesa. Gharama
hizi zimepunguzwa rasmi kuanzia tarehe 16 Aprili, Mkurugenzi Mtendaji wa
Vodacom Bw. Rene Meza alisema wateja wa Vodacom sasa wanao uwezo wa
kutoa fedha kutoka kwa wakala yeyote nchini na watatozwa kwa hizi
gharama mpya na nafuu zitakazosaidia zaidi shughuli za kiuchumi na
kijamii za watu waliosajiliwa na huduma ya Vodacom