Sunday, April 8, 2012

KANUMBA AMEACHA GUMZO KWA WAPENZI WA FILAMU TANZANIA NA AFRICA KWA UJUMLA.

Ni alfajiri kabisa kama saa 12 hivi watu wengine wakiwa ndio wanaamka na wengine wakienda kulala na kupata mshtuko wa kuondokewa na kipenzi chao kwenye tasnia ya filamu hapa bongo Steven Kanumba nyumbani kwake Sinza Vatcan. Chazo kinasema Kanumba alitoka kuoga na kumkuta Lulu ambaye inasemekana ni wapenzi akiongea na simu ndipo hapo ugomvi ulipoanzia mpaka kanumba kujikuta akidondokea kisogo na kutokwa na damu nyingi. Kwa sasa msanii wa kike Lulu anashikiliwa na police kwa maelezo zaidi
 
Watu wakiwa hawaamini kilichotokea 
 
Msanii Shilole akiwa hajielewi kabisa akiingia nyumbani kwa Marehemu 
  Rafiki mkubwa wa marehemu anaitwa Tito yeye ndio alikuwa na mwili wa marehemu hadi hosp ya Mwimbili  
 Msanii Johari akiwa kwenye huzuni kabisa akifanya mahojiano ya TV
 Kijana huyu yeye alipopata habari pale pale alianguka chini
H.Baba akiwasili nyumbani kwa Marehe Steven Kanumba 
 
Steve Nyerere akiwasili nyumbani kwa marehemu akiwa kwenye majonzi mengi
Swahiba mkubwa wa Kanumba Ray akiwa mwenye huzuni nyingi




 

No comments: