LIVE KUTOKA LEADERS CLUB KUUAGA MWILI WA MAREHEMU STEVEN KANUMBA
Wanakwaya wakiimba nyimbo za uzuni.
Hii ndio sehemu ambayo mwili wa marehemu Kanumba unatarajiwa kuwekwa
Mama yake Kanumba aliyenyoosha mkono juu kuwapungia watu waliokuja uwanjani
Huyu dada hapa mbele alikuwa akilia kwa uchungu sana
Hemed na Yusuph Mlela wakiingia
Mke wa rais Mama Salma Kikwete
Mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi akitoa heshima zake za mwisho kwenye mwili wa marehem.
No comments:
Post a Comment