TISHIO la TSUNAMI linaweza kutokea pwani ya Tanzania kuanzia saa 1 leo usiku,
Pichani ni maeneo ya Makumbusho yalivyo kwa sasa hivi
kutokana
na mvua zinazoendelea kunyesha sasa hivi hapa Dar es Salaam mamlaka ya
hali ya hewa imesema tishio la Tsunami linaweza kutokea pwani ya
Tanzania kuanzia saa 1 usiku na saa 3 usiku leo.
Sehemu nyingine zitakazo weza pata Tsunami ni SEYCHELLES, PAKISTAN, SOMALIA, OMAN, MADAGASCAR, IRAN, UAE, YEMEN, COMORES, BANGLADESH, MOZAMBIQUE.
Sehemu nyingine zitakazo weza pata Tsunami ni SEYCHELLES, PAKISTAN, SOMALIA, OMAN, MADAGASCAR, IRAN, UAE, YEMEN, COMORES, BANGLADESH, MOZAMBIQUE.
No comments:
Post a Comment